Millard Ayo na Ncha kali..
Sunday, February 24, 2013
Thursday, February 21, 2013
Hii ni picha ya Zombi ilichorwa na mwanafunzi aliyehitimu kidato cha nne mwaka 2012 katika karatasi yake ya majibu..
katibu mtendaji wa baraza la mitihani Tanzania (Necta) Dk Joyce Ndalichako akionyesha picha hiyo juzi
Picha ; Wema Sepetu azindua Offisi za kampuni yake ya "Endless Fame Firm"..
Wiz khalifa na mchumba wake Amberose,wapata mtoto wa kiume...
,
Wiz Khalifa na mchumba wake ambarose wakiwa katika mtoko wa wazi kabla ya tunzo za Grammy February 2013, baada ya mtoko huu Tar 14 Feb 2013 Amberose aliandika on Twitter kwamba hataoneka mpaka atakapojifungua mtoto wao....
"Hey Rosebuddy and RoseStuds.muva wont be back on twitter until Wizbud is born, I need to meditate & focus on our Lily boy,Love you talk soon"
Huyu ni Wiz Khalifa akionekana akiwa amevaa mavazi ya Labour,,ni baada ya mchumba wake kujifungua mtoto wa kiume jumanne mchana,ambaye jina la mtoto huyo ni 'Sebastian'..
Friday, February 8, 2013
huyu ndio mbunge Sonko bhaaana....
Huyu ndie mbunge Sonko wa Kenya ambae mara kwa mara amekua akimake headline katika vyombo vya habari kwa aina ya maisha yake ndani na nje ya bunge la kemya,lakini pia inasemekana huyu ndie mbunge ambaye anapendwa na vijana wengi sana nchini kenya..ambapo hivi karibuni aliweka bayana gari lake jipya na kuliandika SENETOR badala ya namba ikimaanisha kua na ndoto ya kuwa Senetor wa jiji la Nairobi...
Thursday, February 7, 2013
kampuni ya Fast Jet yakanusha uvumi unaoenea kuwa imenyang'anywa leseni yake ya biashara Tanzania..
kampuni maarufu ya Fast Jet inayofanya safari za angani kupitia nchi mbalimbali baran Afrika ikiwemo Tanzania imepinga vikali uvumi wa kuwa imefungiwa leseni yake ya kufanya safari zake za anga nchini Tanzania kupitia website yao ya www.fastjet.com kama ilivoripotiwa leo hapa chini....
Subscribe to:
Posts (Atom)