Kiongozi kutoka kundi la "Maybach Music Group (MMG),Rick Rozay The boss ameibuka katika mtandao wa twitter na kuzungumzia beef linaloendelea baina ya raper 50 Cent na Floyd MayWeather kwa kujibu tweet aliyotumiwa na Flody jumamosi ya tar 3 Nov 2012,Rozay alijibu kwa kuandika on twitter
"That boy @Floyd MayWeather said " hold my money F**k boy''haaaaa# tmt # MMG # OilMoney".Rozay tweeted November 3rd.
Rick Rozay pia aliendelea kutiririka kuhusiana na beef hili huku akimzungumzia Floyd MayWeather kwa kutumia jinsia ya kike juu yake na kwa maneno ya kejeli..
""Well, she did some things," Ross jokingly said about why he is involved
in a beef with Mayweather. "Just to get some attention, said some
things and I punished her. She got my attention so I lashed out. I
punished her and now she just released another statement retracting what
she was saying before. That's all I wanted, stay in your place young
lady. We know you're sweet. Straight sugar. I'ma be honest, I am a fan.
He said it, I did go to the fights. The $5,500 seats, yeah, I was right
there, I coulda threw a red soda on you. She lives an alternative
lifestyle and we gonna leave it at that. Much success to your boxing but
just respect the G's." (UStream) Rozay said.
Monday, November 5, 2012
Raper 50 Cent katika beef zito na rafiki yake wa karibu Floyd MayWeather..
50Cent na Floyd MayWeather ijumaa ya wiki hii wakat wa match baina ya Lakers na Clippers ikiendelea iliripotiwa wawili hawa kuingia katika beef nzito baada ya raper superstar ambae kwa sasa ni promoter wa ngumi za boxing 50 Cent kuandika on twitter ya kuwa amesitisha mkataba na mahusiano yake ya kibiashara pamoja na urafiki wa kawaida na bingwa asiye pingika katika ngumi za boxing Floyd MayWeather.Aliendelea kwa kusema ataendelea kufanya kazi ya kupromote mchezo huo huku akiwa na mkataba na Yuriorkis Gambodia,Billy Dib na Andre Dirrel pasipokua na MayWeather..50 Cent aliendelea kwa kukosoa maisha ya Floyd kwa kumwambia kazidi kutumia pesa zake kwa kununua wanawake wanaopenda pesa zake na si kumpenda yeye,On twitter hapo jana Jumamosi 50 Cent aliandika ''I cant hang out with FLOYD no more,I am tired of running from manny pacquiano#sms Audio".Pia katika upande wa MayWeather yeye pia aliendelea kutuma picha on twitter bandika bandua huku akimtukana na kumkejeli 50 cent kupitia picha hzo huku akizipost pia kwa rapers Kanye West,Lil Wayne na Rick Rose kupitia twitter.
50 Cent na Floyd MayWeather.
50 Cent akiwa amebeba mikanda ya Floyd MayWeather katika moja ya mapambano yake aliotwaa ubingwa wa boxing .
Justin Bieber,Lil Wayne,Floyd Mayweather pamoja na 50 Cent.
Saturday, November 3, 2012
BRIGITER ALFRED kutoka kitongoji cha Sinza ndiye mshindi Miss Tanzania 2012..
BRIGITER ALFRED akipunga mkono kuwashukuru mashabiki baada ya kushinda..
BRIGITER katika pozi
Top three Miss Tanzania 2012
Taji Lihundi na Jokate Mwigelo kidoti wakihost shindano la Miss Tanzania 2012
SAM nae ahitimu degree yake ya kwanza kutoka University of Greenwich
Sam Misago pia ahitimu degree yake ya kwanza ya Bussiness Administration kutoka Learn IT Institute of Bussiness and Technology
Fetty,Gk wahitimu shahada ya kwanza kutoka chuo cha Tumaini
A.Y,King Crazy GK na Mwana F.A wakiwa katika mahafali ya GK
Mwana F.A,Dj Fetty na A.Y katika mahafali ya chuo cha Tumaini jumamosi ya tar 3 Nov 2012
Subscribe to:
Posts (Atom)