Thursday, February 21, 2013

Wiz khalifa na mchumba wake Amberose,wapata mtoto wa kiume...




 Amber+Rose+55th+Annual+GRAMMY+Awards+Red+Carpet+4Z-tc_V-hUYl,
Wiz Khalifa na mchumba wake ambarose wakiwa katika mtoko wa wazi kabla ya tunzo za Grammy February 2013, baada ya mtoko huu Tar 14 Feb 2013 Amberose aliandika on Twitter kwamba hataoneka mpaka atakapojifungua mtoto wao....

 "Hey Rosebuddy and RoseStuds.muva wont be back on twitter until Wizbud is born, I need to meditate & focus on our Lily boy,Love you talk soon"



Huyu ni Wiz Khalifa akionekana akiwa amevaa mavazi ya Labour,,ni baada ya mchumba wake kujifungua mtoto wa kiume jumanne mchana,ambaye jina la mtoto huyo ni 'Sebastian'..
0221_wiz_inset

No comments:

Post a Comment