Friday, February 8, 2013

huyu ndio mbunge Sonko bhaaana....

Huyu ndie mbunge Sonko wa Kenya ambae mara kwa mara amekua akimake headline katika vyombo vya habari kwa aina ya maisha yake ndani na nje ya bunge la kemya,lakini pia inasemekana huyu ndie mbunge ambaye anapendwa na vijana wengi sana nchini kenya..ambapo hivi karibuni aliweka bayana gari lake jipya na kuliandika SENETOR badala ya namba ikimaanisha kua na ndoto ya kuwa Senetor wa jiji la Nairobi...



No comments:

Post a Comment