Thursday, February 21, 2013

Hii ni picha ya Zombi ilichorwa na mwanafunzi aliyehitimu kidato cha nne mwaka 2012 katika karatasi yake ya majibu..

ndalichako

katibu mtendaji wa baraza la mitihani Tanzania (Necta) Dk Joyce Ndalichako akionyesha picha hiyo juzi

Picha ; Wema Sepetu azindua Offisi za kampuni yake ya "Endless Fame Firm"..


Dada Wema

 IMG_4933 (600x400)
                            Mama yake pia alikuwepo kumsapoti mwanae
IMG_4960 (400x600) 

IMG_4959 (600x400)

 Wema na Cloud kwa mbali katika ofisi za EFF

Jiko la Endless fame films

Waigizaji wenzake wa filamu nao walimsapoti
             Waigizaji Filamu wenzake Jay B,Cloud,Ray na wengine wengi walikuwepo kumsapoti

 Wema akianza kuielezea Endless fame films

Wiz khalifa na mchumba wake Amberose,wapata mtoto wa kiume...




 Amber+Rose+55th+Annual+GRAMMY+Awards+Red+Carpet+4Z-tc_V-hUYl,
Wiz Khalifa na mchumba wake ambarose wakiwa katika mtoko wa wazi kabla ya tunzo za Grammy February 2013, baada ya mtoko huu Tar 14 Feb 2013 Amberose aliandika on Twitter kwamba hataoneka mpaka atakapojifungua mtoto wao....

 "Hey Rosebuddy and RoseStuds.muva wont be back on twitter until Wizbud is born, I need to meditate & focus on our Lily boy,Love you talk soon"



Huyu ni Wiz Khalifa akionekana akiwa amevaa mavazi ya Labour,,ni baada ya mchumba wake kujifungua mtoto wa kiume jumanne mchana,ambaye jina la mtoto huyo ni 'Sebastian'..
0221_wiz_inset

Friday, February 8, 2013

huyu ndio mbunge Sonko bhaaana....

Huyu ndie mbunge Sonko wa Kenya ambae mara kwa mara amekua akimake headline katika vyombo vya habari kwa aina ya maisha yake ndani na nje ya bunge la kemya,lakini pia inasemekana huyu ndie mbunge ambaye anapendwa na vijana wengi sana nchini kenya..ambapo hivi karibuni aliweka bayana gari lake jipya na kuliandika SENETOR badala ya namba ikimaanisha kua na ndoto ya kuwa Senetor wa jiji la Nairobi...



Wabongo kwa mautunduu....ebu cheki hapaa..

Thursday, February 7, 2013

kampuni ya Fast Jet yakanusha uvumi unaoenea kuwa imenyang'anywa leseni yake ya biashara Tanzania..

fastjet

kampuni maarufu ya Fast Jet inayofanya safari za angani kupitia nchi mbalimbali baran Afrika ikiwemo Tanzania imepinga vikali uvumi wa kuwa imefungiwa leseni yake ya kufanya safari zake za anga nchini Tanzania kupitia website yao ya www.fastjet.com kama ilivoripotiwa leo hapa chini....

 Habari Muhimu
 

Rapa Kanye West na mkewe Kim Kardashian hivi karibuni wamenunua mjengo mpya wenye thaman ya Dollari za kimarekani Million 11......

Hizi ni baadhi ya picha za mjengo huo wenye kila maraha ndani yake...


 



Saturday, January 5, 2013

Closer by Vanessa Mdee soon kuachiwa rasmi....

Mtangazaji wa MTV Base na Choice FM Radio Vanessa mdee soon anatarajiwa kuachia wimbo wake mpya unaoitwa CLOSER...ambayo umetayarishwa na maproducer wawili mashuhuri hapa bongo ambao ni Hermy B na Pancho Latino katika studio ya BHit..wimbo huu  unatarajiwa kuachiwa rasmi tarehe 11 January,2013...

Izzo Bizness afungua "Internet Cafe and Secretarial Bureau" jijini Mbeya...


Mh.Mbilinyi akiperuzi na kufurahia huduma ya internet katika cafe ya Izzo..

Mh. Joseph Mbilinyi akisalimiana na Izzo Bizness katika uzinduzi wa Internet Cafe and Secretarial Bureau mjini mbeya...katika uzindizi huu Mh.Mbilinyi alikua mgeni rasmi wa uzinduzi huu..

Huyu ndio Story...aliyeimba chorus katika new Track ya Roma inayoitwa 2030....


Sunday, December 30, 2012

Penzi la Kanye West na Kim limezidi kukolea baada ya kim kupata ujauzito...

Host wa kipindi cha kardashians in Reality TV mwanadada kim ambae ni mpenzi wa rapper kanye west,,hivi sasa mwanadada huyu ni mjamzito ambapo Kanye West mwenyewe alitangaza hili katika perfomance yake ya mwisho wa mwaka Atlanta City,pia mwakilishi wa Kim alilithibitisha hili..


bata batan,,njoo tufunge mwaka hapaa


Friday, December 28, 2012

Nunua nyimbo ya Roma kwa Sh.3000/= tuu..show LOVE





kama wewe ni shabiki wangu namba moja basi onesha ushirikiano wako na support kazi zangu kwa kununua Track yangu kwa sh.3000/= tu za kibongo..tuma kupitia  TIGO PESA +255 717 720 078 au M PESA +255 893 469... ntakutumia wimbo huu

Hii ni Art work Official ya Wimbo Mpya kutoka kwa Chibwa Wa Tanchy...Baada ya Aghiba Dance Ambayo ilipikwa katika Jiko la DE FATALITY Chini ya Producer  Mesen Selekta. Raundi hii ya Pili WIMBO Unaitwa NISHAI Akimshirikisha Msanii Juru Mbulula..
Kuwa karibu na Hizi Anuani ambazo Wimbo huu utapatikana .Mwanzoni wa mwaka 2013 ..

                               Chibwa Ukurasa wa My Space
                                Chibwa Ukurasa wa Facebook
                     Chibwa Ukurasa wa Reverbnation
                      Chibwa ukurasa wa Twitter                                  
                        Jiunge Na Ukurasa wake wa Mashabiki Facebook

Monday, December 24, 2012

JE UNAJUA MAANA YA HII LOGO YA M_MTANASHATI Entertainment!!!.. CHEK HAPAA






Kampuni ya Mtanashati Entertainment imeweka bayana maana kamili ya maandishi yaliyopo katika logo yao kama inavyoonekana hapo juu kama ifuatavyo>>>

M-ilizungushiwa duara jekundu ikisimama kama Ostaz JUMA,MUSOMA
M_ yenye rangi nyeupe na nyeusi ikisimama kama Mtanashati...ila pia Logo hii ina rangi tatu yan
NYEKUNDU_ kufanya kazi kwa bidii
NYEUSI_inamaanisha Africa
NYEUPE_inamaanisha usafi na utanashati..

SIO YA KUKOSA HII

31/12/2012 HUNTERS BEACH..FUNGA MWAKA NA WASANII KIBAO

Mkesha wa Mwaka Mpya ..Funga Mwaka Beach Party AMBAYO Haijawahi kutokea ...Venue ni HUNTERS  BEACH KIGAMBONI...Iikongozwa kwa Stage na Stamina , Roma ,Suma Lee ,Barnaba , Chibwa , Momba , Makomando ,Juma Nature Msitu wa Vina  ,  , Dulayo , Robby ,Viva Conscious , sambamba na YAKUZA MOB ,Na Kutoka Zanzibar Alonem ,na FUN KISS , JUMATATU TAREHE 31/12/2012  ....Kiingilio TSH 7000.....Kuanzia saa 8 mchana mpaka majogoooo...

23th december..Funga Mwaka na WEUSI Concert

FUNGA MWAKA NA WEUSI! Tarehe 23 ya mwezi huu ndo ile siku ya Usiku wa funga mwaka la weusi utakuwa na uzinduz wa BUM KUBAM DVD mfumo mpya wa usambazaji wa kaz za wasaanii pamoja na uzinduz wa nymbo mpya ya LORD EYEZ ikiambatana na show ya milele!Pand flan ivi za MAISHA CLUB kwa kiingilio cha 10000 tu.
Hapa Lord Eyez
Hapo Gnako 
KatiKati Bonta 
Pembeni Joh Makini
na Kule Nikki wa Pili 
SIO YA KUKOSA
WIMBO WA NIKKI WA PILI BUM KUBAM UTAKUWA WIMBO WA KWANZA KUANZA KUSAMBAZWA KWA MFUMO RAFIKI NA ITAANZA KUTUMIKA RASMI TAREHE 21,12,2012 AMBAPO ITAKUWA PIA NI SIKU YA UZINDUZI WA DOCUMENTARI YA KWANZA YA HIP HOP YA WIMBO WA BUM KUBUM. HIZI HAPA FAIDA ZA MFUMO RAFIKI: 1.MSANII ANAUNGANISHWA MOJA KWA MOJA NA MFUMO NA KUJUA IDADI YA NAKALA ZOTE ALIZOUZA, 2.MFUMO RAFIKI UNAZUIA WAUZAJI FEKI WA KAZI ZA WASANII, 3.MSANII ATAMFAHAMU KILA MTU ALIYANUNUA KAZI YAKE NA KUWASILIANA NAYE MOJA KWA MOJA, 4.WEZI WOTE WA KAZI ZA MSANII WATAJULIKANA HADHARANI KUPITIA MFUMO RAFIKI, 5.KAZI ZA MSANII ZITAPATIKANA KWA URAISI NA KWA WAKATI, 6.MFUMO RAFIKI UTASAIDIA PIA KUPUNGUZA WANYONYAJI WA MUZIKI( PIRACY}
NIKKI WA PILLI NA MFUMO RAFIKI WA KUUZA KAZI ZA MUZIKI

Monday, November 5, 2012

Rick Rozay amjibu Floyd Mayweather kuhusiana na tweet aliomtumia juu ya beef lake na raper 50 Cent.

Kiongozi kutoka kundi la "Maybach Music Group (MMG),Rick Rozay The boss ameibuka katika mtandao wa twitter na kuzungumzia beef linaloendelea baina ya raper 50 Cent na Floyd MayWeather kwa kujibu tweet aliyotumiwa na Flody jumamosi ya tar 3 Nov 2012,Rozay alijibu kwa kuandika on twitter

"That boy @Floyd MayWeather said " hold my money F**k boy''haaaaa# tmt # MMG # OilMoney".Rozay tweeted November 3rd.

Rick Rozay pia aliendelea kutiririka kuhusiana na beef  hili huku akimzungumzia Floyd MayWeather kwa kutumia jinsia ya kike juu yake na  kwa maneno ya kejeli..

           ""Well, she did some things," Ross jokingly said about why he is involved in a beef with Mayweather. "Just to get some attention, said some things and I punished her. She got my attention so I lashed out. I punished her and now she just released another statement retracting what she was saying before. That's all I wanted, stay in your place young lady. We know you're sweet. Straight sugar. I'ma be honest, I am a fan. He said it, I did go to the fights. The $5,500 seats, yeah, I was right there, I coulda threw a red soda on you. She lives an alternative lifestyle and we gonna leave it at that. Much success to your boxing but just respect the G's." (UStream) Rozay said.

Raper 50 Cent katika beef zito na rafiki yake wa karibu Floyd MayWeather..

50Cent na Floyd MayWeather ijumaa ya wiki hii wakat wa match baina ya Lakers na Clippers ikiendelea iliripotiwa wawili hawa kuingia katika beef nzito baada ya raper superstar ambae kwa sasa ni promoter wa ngumi za boxing 50 Cent kuandika on twitter ya kuwa amesitisha mkataba na mahusiano yake ya kibiashara pamoja na urafiki wa kawaida na bingwa asiye pingika katika ngumi za boxing Floyd MayWeather.Aliendelea kwa kusema ataendelea kufanya kazi ya kupromote mchezo huo huku akiwa na mkataba na Yuriorkis Gambodia,Billy Dib na Andre Dirrel pasipokua na MayWeather..50 Cent aliendelea kwa kukosoa maisha ya Floyd kwa kumwambia kazidi kutumia pesa zake kwa kununua wanawake wanaopenda pesa zake na si kumpenda yeye,On twitter hapo jana Jumamosi 50 Cent aliandika ''I cant hang out with FLOYD no more,I am tired of running from manny pacquiano#sms Audio".Pia katika upande wa MayWeather yeye pia aliendelea kutuma picha on twitter bandika bandua huku akimtukana na kumkejeli 50 cent kupitia picha hzo huku akizipost pia kwa rapers Kanye West,Lil Wayne na Rick Rose kupitia twitter.
50 Cent na Floyd MayWeather.
50 Cent akiwa amebeba mikanda ya Floyd MayWeather katika moja ya mapambano yake aliotwaa ubingwa wa boxing .
Justin Bieber,Lil Wayne,Floyd Mayweather pamoja na 50 Cent.

Saturday, November 3, 2012

BRIGITER ALFRED kutoka kitongoji cha Sinza ndiye mshindi Miss Tanzania 2012..

 BRIGITER ALFRED  akipunga mkono kuwashukuru mashabiki baada ya kushinda..
    BRIGITER katika pozi
                                                              Top three Miss Tanzania 2012
 Taji Lihundi na Jokate Mwigelo kidoti  wakihost shindano la Miss Tanzania 2012