Thursday, February 7, 2013

kampuni ya Fast Jet yakanusha uvumi unaoenea kuwa imenyang'anywa leseni yake ya biashara Tanzania..

fastjet

kampuni maarufu ya Fast Jet inayofanya safari za angani kupitia nchi mbalimbali baran Afrika ikiwemo Tanzania imepinga vikali uvumi wa kuwa imefungiwa leseni yake ya kufanya safari zake za anga nchini Tanzania kupitia website yao ya www.fastjet.com kama ilivoripotiwa leo hapa chini....

 Habari Muhimu
 

No comments:

Post a Comment