Saturday, January 5, 2013

Izzo Bizness afungua "Internet Cafe and Secretarial Bureau" jijini Mbeya...


Mh.Mbilinyi akiperuzi na kufurahia huduma ya internet katika cafe ya Izzo..

Mh. Joseph Mbilinyi akisalimiana na Izzo Bizness katika uzinduzi wa Internet Cafe and Secretarial Bureau mjini mbeya...katika uzindizi huu Mh.Mbilinyi alikua mgeni rasmi wa uzinduzi huu..

No comments:

Post a Comment