Monday, December 24, 2012

SIO YA KUKOSA HII

31/12/2012 HUNTERS BEACH..FUNGA MWAKA NA WASANII KIBAO

Mkesha wa Mwaka Mpya ..Funga Mwaka Beach Party AMBAYO Haijawahi kutokea ...Venue ni HUNTERS  BEACH KIGAMBONI...Iikongozwa kwa Stage na Stamina , Roma ,Suma Lee ,Barnaba , Chibwa , Momba , Makomando ,Juma Nature Msitu wa Vina  ,  , Dulayo , Robby ,Viva Conscious , sambamba na YAKUZA MOB ,Na Kutoka Zanzibar Alonem ,na FUN KISS , JUMATATU TAREHE 31/12/2012  ....Kiingilio TSH 7000.....Kuanzia saa 8 mchana mpaka majogoooo...

No comments:

Post a Comment