Mkesha wa Mwaka Mpya ..Funga Mwaka Beach Party AMBAYO Haijawahi kutokea
...Venue ni HUNTERS BEACH KIGAMBONI...Iikongozwa kwa Stage na Stamina ,
Roma ,Suma Lee ,Barnaba , Chibwa , Momba , Makomando ,Juma Nature Msitu
wa Vina , , Dulayo , Robby ,Viva Conscious , sambamba na YAKUZA MOB
,Na Kutoka Zanzibar Alonem ,na FUN KISS , JUMATATU TAREHE 31/12/2012
....Kiingilio TSH 7000.....Kuanzia saa 8 mchana mpaka
majogoooo...
No comments:
Post a Comment