Host wa kipindi cha kardashians in Reality TV mwanadada kim ambae ni mpenzi wa rapper kanye west,,hivi sasa mwanadada huyu ni mjamzito ambapo Kanye West mwenyewe alitangaza hili katika perfomance yake ya mwisho wa mwaka Atlanta City,pia mwakilishi wa Kim alilithibitisha hili..
No comments:
Post a Comment